Mgombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA mh. Lowassa na mgombea Mwenza Mh. Duni Haji wamekidhi vigezo vyote na muda mfupi uliopita NEC imemuidhinisha kuendelea na hatua ya kampeni.
Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa akifuatana na Mgombea mwenza mh. Juma Haji Duni wakikabithi fomu kwa mwenyeki wa NEC Jaji Lubuva.
Mh. Lowassa akiongea na waandishi wa habari
from Blogger http://ift.tt/1JnrGC1
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/1h3iRXD
No comments:
Post a Comment