Monday 20 February 2017

MAAJABU : Tazama VIDEO ya Kijana Aliyetengeneza GARI huko Mwanza kwa Kutumia Vifaa vya Baiskeli

Tanzania ni nchi ambayo imekuwa nyuma sana kiteknolojia, sio viwanda vya kutengeneza hata pipi, toothpick nk vimekuwa ni adimu na vitu vingi tunavyotumia vimekuwa vikiagizwa nje ya nchi… Kama hilo halitoshi, vijana wanaoonyesha jitihada za kubuni vitu mbalimbali vya kiteknolojia wamekuwa hawapewi sapoti inayostahili…. Mfano ni kijana huyu aishiye mwanza wilaya ya Kwimba, Ameweza kutengeneza Gari kwa kutumia vifaa vya baiskeli na linatembea barabarani. Tazama Video Hapa chini

from Blogger http://ift.tt/2kDEiFb
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2me92c3

No comments:

Post a Comment