Saturday 8 April 2017

Imevujaaa… Mkuu wa Freemason Duniani Kutua Tanzania na Mafreemason 300 Kushuhudia Live Tukio la Kuuchoma Moto Mwili wa Aliyekuwa Mkuu wa Freemason Tanzania …!!!!

Mazishi ya mkuu Sir Andy chande (88 years) aliyefariki huko Nairobi Kenya yanatarajiwa kufanyika Jumanne ijayo kwa mwili wake kuchomwa moto mpaka kuteketea wote (cremation.)
Wageni zaidi ya 300 kutoka nje ya nchi wakiongozwa na Freemason mkuu watahudhuria mazishi yatayofanyika hapa Dar. Booking za guest watazofikia wageni mashughuli wa freemason zinaendelea kufanyika kwa kasi ya ajabu hapa jiji zina la dsm.
Kumbuka Sir Andy chande alikuwa kiongozi wa Freemason, mmiliki wa shule ya shaaban Robert, Ashawahi kuwa mkuu wa makumbusho ya Taifa (mkabala na IFM).

from Blogger http://ift.tt/2nr0rrG
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2pe1QhP

No comments:

Post a Comment