Kutoka makao makuu ya CHADEMA Dsm, haya ni ya leo !
Ni August 13 2015 kutoka makao makuu ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA ambapo dakika hizi 14 zimetumika kuzungumzia mipango na mengine mapya yaliyoafikiwa kwa kuwekwa saini na wanaounda UKAWA.
No comments:
Post a Comment