Monday 3 April 2017

Noma Sana..Pamoja na Wakenya Kwenda Mahakamni..Madaktari 470 wa Kitanzania Wajitokeza Kuchangamkia Fursa ..!!

Wakati Mahakama nchini Kenya imezuia kwa muda madaktari kutoka nje kwenda nchini humo kupiga kazi, zaidi 470 wameomba kazi hizo kupitia Wizara ya Afya hapa nchini.
Serikali ya Tanzania imesema mchakato wa kupokea maombi hayo pia utaendelea kwa kuwa haijapokea maelekezo yoyote nchini Kenya.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema bado wanasubiri taarifa rasmi kutoka kwa Serikali ya nchi hiyo.
“Tunasubiri taarifa rasmi kutoka Serikali ya Kenya kwa kuwa wao ndiyo walioleta maombi kwetu. Kama kuna mabadiliko yoyote, naamini watatufahamisha rasmi,” amesema.
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dk Mpoki Ulisubisya madaktari 470 wametuma maombi kati ya nafasi 500 zilizotangazwa za kwenda kufanya kazi nchini humo.
Msemaji wa wizara hiyo, Nsanchiris Mwamaja amesema: “Tumepokea maombi mengi ya kutosha, lakini ikitokea mtu akatuma tunayapokea, hivi karibuni jopo litakaa na kuanza kupitia maombi hayo kabla ya usaili na baadaye kupanga mipango ya namna gani watafika vituo vyao vya kazi.”

from Blogger http://ift.tt/2nw5CCz
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ntgzUW
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nwk7qg
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2opybGc
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ox7trZ
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nKVuqB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ntDaAI
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2opYkED
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nwUTbn
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nx3VVr
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oO1TAE
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nxoUrj
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nunhtG
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nuhPqN
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ny9eEa
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oOwTAF
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nuUANo
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2nymWXS

No comments:

Post a Comment