Tuesday, 8 September 2015

PICHA: JUST PICHA: MATUKIO MBALIMBALI YA KAMPENI ZA MWANA DIASPORA LIBE


Ni Liberatus Mwang’ombe aka “Libe” aliye wahi kukaa DMV, USA na sasa yupo kwenye harakati za kwenda Dodoma.

Libe katika ubora wake
Libe akiingia mkutanono na ulinzi shirikishi
 Mafuriko ya mbunge

 Peoples’… POWER!!!
Akiwa njiani kuelekea kwenye mikutabo, Libe huongea na mtu mmoja mmoja 

Mh. Mwang’ombe  anaamini kuwa huwezi kuibadili Dodoma kwa kukaa nje ya mjengo. Ni lazima uingie Dodoma ili uweze kuibadilisha na kupitisha agenda za diaspora. Hivyo basi, anawaomba diaspora wote bila kujali itikadi wala tofauti zao kumsaidia kwa hali na mali ili atimilize ndoto ya kupenyeza hoja za diaspora

from Blogger http://ift.tt/1NeXIWO
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1FuZdK0

No comments:

Post a Comment