Daniella Atim, ambaye ni mke wa Hitmaker na muimbaji kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Chameleone, amewasilisha ombi la kutaka hakimu katika moja ya mahakama nchini Uganda kuivunja ndoa yake na hitmaker huyo.
Daniella ameeleza sababu za kutaka kuachana na Chameleone zikiwa ni pamoja na kupigwa na muimbaji huyo pamoja na kunyanyaswa yeye na watoto wake.
Daniella na Chamelone wameoana kwa zaidi ya miaka kumi na kufanikiwa kupata watoto wanne pamoja.
Hatua za kumpata Chameleone kutolea ufafanuzi suala hili, hazijafua dafu.
from Blogger http://ift.tt/2o79G0r
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2pVKaYw
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2oTkdJO
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2pGtXKm
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2oTYXno
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2oP5uBf
No comments:
Post a Comment