Sunday 2 April 2017

Imefichukaa..Mbunge Lijualikali Atoa ya Moyoni,Afunguka Mazito Kuhusu Kukaa Kwake Gerezani kwa Siku 70..!!!

Siku moja baada ya Mbunge wa Kilombero (Chadema) Peter Lijualikali kuachiwa huru na mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam, ametoa ya moyoni na kusema kuwa alichofanyiwa ni uonevu.
Ameyasema hayo jana baada ya Waziri Mkuu Mstaafu, na Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Frederick Sumaye, kukamilisha taratibu za kumtoa gerezani.
Lijualikali amefutiwa mashtaka yake juzi na mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam baada ya kukaa jela kwa zaidi ya siku 70 akituhumiwa kufanya vurugu katika uchaguzi wa mwaka 2015. Katika hukumu hiyo, Lijualikali alihukumiwa bila kupewa masharti ya faini.
Tazama video Mtoto amvua kofia
 Papa Francis

from Blogger http://ift.tt/2nKY6GL
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mYuuXA
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oKKA3r
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2omtaNS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oKVo1w
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oL51NI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oumoTQ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2onpNX6
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2onW8gS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mZYvpR
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2onRM97
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nshEfo
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ovCFri
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nYqUfd
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oMhMra
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nNqE2p
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nYI8ZS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nw8kZ5
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ntcqQI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nNPu1P
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2opwNmQ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2opFtJu
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nL9hgU
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2n1nNE5
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2opY9Js
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oqq4J4
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2nZZAxf

No comments:

Post a Comment