Friday 21 April 2017

NAAMINI Atakachofanywa North Korea na Marekani Kitakuwa ni Funzo Ulimwenguni

North Korea ni Nchi ndogo sana kwa Marekani, Tukianza na Umbo hadi Teknolojia! Yaani huwezi amini mabomu wanayoyafanyia majaribio leo N. Korea wenzao marekani waliwarushiaga Japan mwaka 1945 Ni kichekesho kikubwa kwa N. Korea kutaka kupigana na Marekani! Bomu moja la nikotini 100,000 tu linaweza kuipasua North Korea na South Korea kwa mkupuo mmoja! Af mzee wa kiduku anasimama bila hata uwoga kuanza kuwatisha marekani!! aka Shetani wa dunia! aka Wababe wa historia! Wakuu wa Teknolojia, wanaoheshimiwa na warusi na wajerumani. Wazee, serious Hivi huyu kiduku amevuta bhange?
Af jambo jingine bandugu kumbukeni hii sio mechi ya mpira hili jambo linaenda kuua mamilioni ya watu ulimwenguni hivyo hatutakiwi kuwa na ushabiki wa kijinga wakati inajulikana wazi hii ni vita ya panya na simba!

from Blogger http://ift.tt/2opYJDk
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2piZItd
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7oQDf
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGyixb
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7U6SB
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oOTPm8
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUzXfA
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o8Crdg
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pIvrUr
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pJ6nfY
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2owcuzI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pJHDEo
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oauynF
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pY2wbC
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oaZCDX
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2oaSTda

No comments:

Post a Comment