Siku za hivi karibuni kumekuwa na makanda wa video unaosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ambao anaonekana mwanamke mmoja akihojiwa akidai kuwa amezaa mtoto na Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima.
Katika video hiyo anaonekana mtangazaji wa Clouds Fm/Tv, Soudy Brown akimhoji mama huyo ambaye alisema kuwa amezaa mtoto na Askofu Gwajima. Mwanamke huyo anaeleza kuwa kazi yake yeye alikuwa akifanya usafi katika kanisa hilo kipindi likiwa Kawe kabla ya kuhamia Ubungo.
Kufuatia Tuhuma hizo, kiongozi huyo amesema kuwa leo atatolea ufafanuzi suala hilo huku akidai kuwa ni watu wamejipanga kumchafua. Hapa chini ni video ya Askofu Gwajima akihubiri Kanisani kwake. VIDEO:
from Blogger http://ift.tt/2mX3Smz
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2nFMLFZ
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2n3OWod
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2nAiDPs
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2naSshk
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2mhwE49
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2np3QX5
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2np9l8p
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2nHcz4m
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2mGdy3d
No comments:
Post a Comment