Bendi ya Jeshi la Polisi wakiongoza maandamano ya wanaharakati.
Wanaharakati kutoka Taasisi mbalimbali wakiwa na mabango yaokwenye maandamano yaliyoanzia Uzuri Sinza na kuishia katika ukumbi wa ubungo plaza jijini Dar es salaam leo.
wanaharakati wakiwa kwenye ukumbi katika kupinga ukatili wa kijinsia ulioadhimishwa leo jijini Dar es salaam.
from Blogger http://ift.tt/1T56Spo
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/1NPF9oS
No comments:
Post a Comment