Thursday 26 November 2015

UZINDUZI WA HARAKATI KATIKA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA


Bendi ya Jeshi la Polisi wakiongoza maandamano ya wanaharakati. 
Wanaharakati kutoka Taasisi mbalimbali wakiwa na mabango yaokwenye maandamano yaliyoanzia Uzuri Sinza na kuishia katika ukumbi wa ubungo plaza jijini Dar es salaam leo.
wanaharakati wakiwa kwenye ukumbi katika kupinga ukatili wa kijinsia ulioadhimishwa leo jijini Dar es salaam. 

from Blogger http://ift.tt/1T56Spo
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1NPF9oS

No comments:

Post a Comment