Saturday, 12 September 2015

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO. TAREHE 12/09/2015.

WIZARA YA UCHUKUZI
                             MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 12/09/2015.
[Mikoa ya Mara na Kagera]:
Hali ya Mawingu kiasi, Mvua
na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Ruvuma, Katavi,
Mbeya, Iringa, Njombe na Rukwa]:
[Mikoa ya Mwanza,Shinyanga,
Kigoma, Tabora na Singida]:
[Mikoa ya Dar es Salaama,Morogoro,
Pwani na Tanga]
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Dodoma, Mtwara na
Lindi]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
TAHADHARI:
UPEPO MKALI UNAOZIDI KM40 KWA SAA NA MAWIBI
MAKUBWA YANAYOZIDI MITA 2 VINATARAJIWA KATIKA UKANDA WOTE WA PWANI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango
cha juu cha joto
Kiwango
cha chini cha joto
Mawio
(Saa)
Machweo
(Saa)
ARUSHA
27°C
18°C
12:30
12:31
D’SALAAM
30°C
22°C
12:19
12:20
DODOMA
29°C
19°C
12:43
12:34
KIGOMA           
33°C
19°C
12:57
12:58
MBEYA
25°C
07°C
12:44
12:42
IRINGA
27°C
14°C
12:34
12:33
MWANZA
30°C
21°C
12:43
12:46
TABORA
32°C
19°C
12:45
12:46
TANGA
29°C
22°C
12:20
12:21
ZANZIBAR
31°C
22°C
12:19
12:20
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki; kwa kasi
ya km
30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kwa
kasi ya km
40 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi hadi Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Jumatatu:
14/09/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 12/09/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

from Blogger http://ift.tt/1F4q5Wn
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1MiV1oo

No comments:

Post a Comment