Saturday 8 August 2015

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO

WIZARA YA UCHUKUZI
                             MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 08/08/2015.


[Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Pwani na Morogoro]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya Mawingu kiasi, mvua nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.


[Mikoa ya Mwanza, Kagera, Shinyanga, Geita na Mara]:
[Mikoa ya Katavi, Mbeya, Kigoma, Tabora na Rukwa]:
[Mikoa ya Iringa,Njombe,Mtwara, Lindi na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida]:




Hali ya Mawingu kiasi na vipindi vya jua.



VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Kiwango cha chini cha joto
Mawio (Saa)
Machweo (Saa)

ARUSHA
24°C
14°C
12:41
12:38
D'SALAAM
30°C
20°C
12:36
12:21
DODOMA
27°C
16°C
12:48
12:37
KIGOMA           
31°C
17°C
01:11
01:02
MBEYA
23°C
10°C
01:01
12:42
IRINGA
24°C
14°C
12:51
12:34
MWANZA
30°C
17°C
12:54
12:53
TABORA
30°C
17°C
12:59
12:50
TANGA
28°C
22°C
12:34
12:25
ZANZIBAR
29°C
23°C
12:36
12:21

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa kiasi.

Matazamio kwa siku ya Jumatatu: 10/08/2015: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 08/08/2015.


Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

No comments:

Post a Comment