Monday, 10 April 2017

RC PAUL Makonda Aandika Ujumbe Huu Wenye Fumbo Ndani yake

RC wa Dar Ameandika ujumbe wa mafumbo kupitia ukurasa wake wa Instagram, Haijaeleweka na Nani analegwa hapo..Embu jisomee na wewe labda unaweza tegua mtego
By @paulmakonda 
“Hakuna kitu kibaya kama kudanganywa na mtu huku ukijua anakudanganya na wakati huo huo anaekudanganya hajui kama unajua anakudanganya. Basi kazi yako inakuwa nikucheka kimoyomoyo”

from Blogger http://ift.tt/2oXd2jF
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2pjHWls

No comments:

Post a Comment