Thursday, 4 May 2017

MBASHA: Aliyemuoa Flora Apokee Ujumbe Huu..!!!

Mbasha amesema kijana aliyemuoa flora hana tatizo naye na alikua hamjui na wala hajawahi kumletea matatizo ila aliyemletea tatizo ni jamaa mmoja ambaye watanzania wote wanamfahamu.
Pia amesemapia flora alimuoa akiwa mama wa nyumbani na kumfanya afahamike na Tanzania na dunia ila alimuacha kwa sababu anazozijua yeye ila alikuwa na fedha za kutosha

from Blogger http://ift.tt/2q2TLkE
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2p9DG7S

No comments:

Post a Comment