Monday 24 April 2017

Gwajima Ajipanga Kununua Treni ya umeme

Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema amedhamiria kununu treni ya umeme baada ya Rais John Magufuli kuonyesha dhamira ya kujenga reli ya kisasa(standard gauge).
Gwajima ameyasema hayo leo katika ibada ya Jumapili huku akimsifu Rais Magufuli kwa kuchukua hatua hiyo.
Alisema licha yeye ni mchungaji wa Taifa na anaamini ipo siku Dar es Salaam yote itakwenda kanisani kwake kusali.

from Blogger http://ift.tt/2q5WmWQ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pWA4uh
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pabymE
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2pe2a3b

No comments:

Post a Comment