Saturday 8 April 2017

Breaking Newss..Nape Moses Nnauye Afyatuka Mazito Kuhusu Sakata la Kufutwa Uwaziri na Magufuli..Ataka Aliyemnyooshea Bastola Akamatwe Lasivo Atafichua Makubwa ya Utawala wa JPM..!!!

Dar es Salaam. Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amezungumza na wapiga kura wake leo katika kijiji cha Chihuta huku akieleza kuwa yeye ndiye aliyemtafutia kura Rais John Magufuli katika kampeni za uchaguzi wa mwaka 2015.
Kadhalika Nape alizungumzia tukio la kutolewa bastola alipotaka kuzungumza na waandishi wa habari hivi karibuni na kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama vichukue hatua.
“Shida niliyonayo wapiga kura wangu huyu jambazi aliyetoa silaha vyombo vya ulinzi nausalama vinafanya nini,” alisema
Alisema kutokana na tukio lile, alihitaji busara zaidi na kutulia kwani kifua chake kina mambo mengi.

from Blogger http://ift.tt/2pdWOC3
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2oNrxcN

No comments:

Post a Comment