Saturday 18 March 2017

Magonjwa 10 hatari yanayotibika kwa kutumia mbegu za maboga.

Mbegu za maboga zina protini na madini ya kutosha na ya mhimu zaidi mwilini kama madini ya zinki, kopa, maginizia, manganizi na chuma, mbegu za maboga ni tamu na zinaweza kutafunwa nyakati zozote na mahali popote hasa kwa wapenda kutafuna-tafuna kama mimi. Tafiti mbalimbali zimethibitisha pasipo na shaka kuwa mbegu za maboga zina faida nyingi kiafya na zina uwezo wa kukuepusha na magonjwa hatari zaidi ya 10 yafuatayo:

1. Ugonjwa wa moyo

2. Huimarisha kinga ya mwili

3. Huongeza uwezo wa macho kuona

4. Kinga ya kisukari

5. Dawa bora ya usingizi

6. Dawa bora ya uvimbe

7. Huongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha

8. Dawa nzuri kwa matatizo ya tezi dume

9. Zinaongeza nguvu za kiume

10. Zinaondoa pia msongo wa mawazo (stress)

Namna nzuri ya kula mbegu za maboga:
Unaweza kula zikiwa kavu na ndiyo utapata faida nyingi zaidi ingawa mimi napenda kuzikaanga kidogo kama dakika 15 hivi na huwa nazichanganya na maji ya chumvi ya mawe ya baharini kidogo kwa mbali ili kupata radha.

Unahitaji ujazo wa kiganja kimoja cha mkono wako cha mbegu za maboga kwa siku ujazo wa kama nusu kikombe cha chai hivi kwa siku.

from Blogger http://ift.tt/2mBXfoz
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mCpbZq
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mzIguR
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mQBfr1
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2manfvh
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mQVsgi
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2maNiCJ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mRj2cX
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mbvJCg
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mRTcWq
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mbK8i4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mcla1Y
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nxQ7hj
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2mCGp8p

No comments:

Post a Comment