Monday 20 March 2017

BREAKING: VIONGOZI WA KAMATI YA BUNGE WATANGAZA KUJIUZULU

Viongozi wa Kamati ya Bunge, Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira wametangaza kujiuzulu nyadhifa zao kwa kile kinachodaiwa kuwa ni serikali kuingilia majukumu yao.
Wabunge-wakiwa-ndani-ya-ukumbi-wa-Bunge-la-Tanzania
Viongozi hao wamendika barua na kuzituma kwenda Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kueleza uamuzi huo walioamua kuuchukua leo.

from Blogger http://ift.tt/2nrSykZ
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2mMrKbD

No comments:

Post a Comment