WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amefunguka kupitia mitandao ya kijamii juu ya madai ya kuvamiwa kwa kituo cha Redio Clouds FM majira ya saa nne usiku, siku ya Ijumaa kuamkia Jumamosi.
Aidha Nape amewataka wanahabari watulie mpaka pale jambo hili litakapo patiwa ufumbuzi.
“Litatolewa ufafanuzi”, aliandika Nape.
from Blogger http://ift.tt/2mHfd8l
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2mjSPGY
No comments:
Post a Comment