Thursday, 23 February 2017

TAARIFA KUHUSU WEMA SEPETU KUHAMIA CHADEMA


Baada ya picha hizi kuzagaa mtandaoni inaelezwa kuwa Wema Sepetu amehamia Chadema kutoka CCM.

Huu hapa chini ujumbe uliochapishwa na msemaji wa Chadema,Tumaini Makene Facebook
Hongera #Wema_Sepetu, Karibu sana CHADEMA.
Chama kupitia Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe, baada ya kesi ya kikatiba namba 1 ya mwaka 2017 inayotarajiwa kuwasilishwa Mahakama Kuu leo.
Kitazungumza kwa umma kupitia waandishi wa habari kuwakaribisha wanachama wapya waliojiunga leo akiwemo #Wema_Sepetu.
Taarifa rasmi tutawaletea

ANGALIA VIDEO CHIDEO

from Blogger http://ift.tt/2l3BSee
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2mbqh26

No comments:

Post a Comment