Saturday 25 February 2017

Picha: Kilimo cha Bangi Makete Kilivyoteketezwa

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Christopher Olesendeka ateketeza Bangi zaidi ya Hekari 50 iliyokuwa ikilimwa kwa kilimo cha Umwagiliaji katika mapori yaliyopo kijiji cha Ng’onde kata ya Mlondwe Wilayani Makete
Habari/Picha na Redio Kitulo FM
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Olesendeka akichoma moto bangi hiyo

from Blogger http://ift.tt/2lG00au
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2mhtaOR

No comments:

Post a Comment