Tuesday 22 December 2015

UCHAGUZI LUDEWA MWANZO MWISHO

 Baadhi ya wananchi walio jitokeza kupiga kura Siku ya Jumapili jimbo la Ludewa licha ya kuwa wachache
 Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Ludewa William Waziri akitangaza matokeo ya uchaguzi jimbo la Ludewa na kumtangaza mbunge mteuliwa Deo Ngalawa kuwa mbunge mteuliwa
 Deo Ngalawa akishangilia ushindi alioupata pembeni kulia ni mama wa Ngalawa akiungana na mwanae kushangilia ushindi
 Ilikuwa ni majira ya saa Mbili matokeo yakitangazwa cheti kinaonyeshwa kwa walio shuhutia matokeo yakitangazwa
Ngalawa akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa na kuwataka wakazi wa jimbo hilo kuona makubwa kutoka kwake.
(picha ni kutoka Ludewa na Mnyalu)
stori yake tafadhari BOFYA HAPA

from Blogger http://ift.tt/1O6A6EQ
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1JrMjym

No comments:

Post a Comment