Friday, 27 November 2015

Rais Dr. Magufuli atinga Ofisi ya wazili mkuu, wateta kwa muda


Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa wakati alipomtembelea Ofisini kwake jijini Dar es salaam jana Novemba 26, 2015 na kuzungumza nae kwa takribani saa moja.


Rais John Pombe Joseph Magufuli akitia saini kitabu cha wageni wakati alipomtembelea Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa ofisini kwake jijini Dar es salaam jana Novemba 26, 2015 na kuzungumza nae kwa takribani saa moja

Rais John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa wakati alipomtembelea Ofisini kwake jijini Dar es salaam Novemba 26, 2015. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.

Mpekuzi blog

from Blogger http://ift.tt/1Yx6io4
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1Ouwz1C

No comments:

Post a Comment