Tuesday, 24 November 2015

IVORY YATAHADHARISHA MATUMUZI YA BIDHAA FEKI KWA WALAJI


Kampuni ya IVORI-IRINGA Inawataadharisha Wateja wake  Hususani Wasambazaji na Wauzaji wa Maduka ya Jumla na Reja reja kuwa, kumekuwepo na matapeli katika baadhi ya mikoa Nchini, Wakiuza bidhaa Feki kwa kutumia jina la pipi za Ivori kwa madai ya muonekano mpya wa bidhaa zetu.

Kampuni ya Ivori Iringa haijaubadilisha muonekano wa pipi zake wala Nembo yake,Hakikisha kila pipi unayonunua  ina nembo halisi ya Ivori kutoka Iringa.
kwa yeyote atakaenunua na Kutumia bidhaa  zinazofananishwa na Pipi za Ivori Iringa na kudhurika kiafya, basi kampuni ya ivori iringa haitahusika na malalamiko yoyote.

Ewe Mteja USIDANGANYIKE,
Nunua Pipi orijino ya Ivori Iringa kwa usalama wa Afya yako .
Imetolewa na
Mkurugenzi Mkuu


I.F.B (LTD)

from Blogger http://ift.tt/1P41Qf3
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1Yq7Gsv

No comments:

Post a Comment