WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 11/10/2015.
[Mikoa ya Mwanza, Kigoma,
Geita, Kagera na Mara]: |
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua. |
|
[Mikoa ya Tanga, Dar es Salaam
Pwani na Morogoro]: [Visiwa vya Unguja na
Pemba]: |
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi
vya jua. |
|
[Mikoa ya Kilimanjaro, Manyara
na Arusha]: |
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi
vya jua. |
|
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya,
Katavi, Iringa na Njombe]: [Mikoa ya Dodoma, Singida,
Shinyanga na Tabora]: [Mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara]:
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua |
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto |
Kiwango
cha chini cha joto |
Mawio
(Saa) |
Machweo
(Saa) |
ARUSHA
|
28°C
|
17°C
|
12:18
|
12:24
|
D’SALAAM
|
30°C
|
21°C
|
12:05
|
12:15
|
DODOMA
|
31°C
|
17°C
|
12:19
|
12:28
|
KIGOMA
|
31°C
|
22°C
|
12:44
|
12:52
|
MBEYA
|
27°C
|
08°C
|
12:28
|
12:39
|
IRINGA
|
28°C
|
14°C
|
12:19
|
12:30
|
MWANZA
|
29°C
|
21°C
|
12:32
|
12:37
|
TABORA
|
34°C
|
20°C
|
12:32
|
12:40
|
TANGA |
30°C
|
23°C
|
12:07
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
22°C
|
12:05
|
12:15
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki; kwa kasi
ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na
kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na
kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo hadi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumanne:
13/10/2015: Mabadiliko kidogo.
13/10/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 11/10/2015.
huu umetolewa leo tarehe: 11/10/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
from Blogger http://ift.tt/1K1GypO
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/1R5Gs5V
No comments:
Post a Comment