Friday, 11 September 2015

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA JANA

WIZARA YA UCHUKUZI
                             MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 10/09/2015.
[Mikoa ya Mara na Kagera]:
Hali ya Mawingu kiasi, Mvua
na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Dar es Salaama,
Pwani na Tanga]
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Ruvuma, Katavi,
Mbeya, Iringa, Njombe na Rukwa]:
[Mikoa ya Mtwara, Morogoro,
Mwanza, Shinyanga, na Geita]:
[Mikoa ya Lindi, Kigoma,
Tabora, Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango
cha juu cha joto
Kiwango
cha chini cha joto
Mawio
(Saa)
Machweo
(Saa)
ARUSHA
27°C
15°C
12:30
12:31
D’SALAAM
32°C
20°C
12:19
12:20
DODOMA
30°C
16°C
12:43
12:34
KIGOMA           
32°C
19°C
12:57
12:58
MBEYA
27°C
12°C
12:44
12:42
IRINGA
29°C
14°C
12:34
12:33
MWANZA
31°C
19°C
12:43
12:46
TABORA
33°C
18°C
12:45
12:46
TANGA
30°C
22°C
12:20
12:21
ZANZIBAR
31°C
22°C
12:19
12:20
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kutoka
Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Mashariki
kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
12/09/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 10/09/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

from Blogger http://ift.tt/1KIaA8X
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1OhncU3

No comments:

Post a Comment