Marehemu Kombani anatarajiwa kuagwa leo katika Viwanja vya Karimjee, jijini na kusafirishwa kwenda Morogoro kwa maziko yanayotarajiwa kufanyika kesho katika kijiji cha Lukobe.
Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Jenista Mhagama. (Na Mpigapicha Wetu).
from Blogger http://ift.tt/1MTCr6I
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/1KFctQy
No comments:
Post a Comment