Tuesday 29 September 2015

Lowasa Aendelea Kutikisa Tanga leo,Tizama Hii ya mchana


Msafara wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha democrasia na maendeleo chadema anayeungwa mkono na vyama vinne vya UKAWA mchana wa leo imemlazimu kusimama muheza Tanga baada ya mamia ya wakazi wa maeneo hayo kuzuia msafara wake ili tu kumuona na kumsikia.Hapa kuna picha za awali ,picha zaidi za mikutano yake leo zitakujia baadae


from Blogger http://ift.tt/1MDL56c
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1VoLcVu

No comments:

Post a Comment