Sunday, 23 August 2015

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO

WIZARA YA UCHUKUZI
                             MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 20/08/2015.
[Mkoa wa Kagera]:
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mkoa wa Mara]:
Hali ya Mawingu kiasi,
ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Tanga, Dar es
Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha
na Manyara]:
[Mikoa ya Katavi, Mbeya,
Kigoma, Tabora na Rukwa]:
[Mikoa ya Mtwara, Lindi,
Iringa, Njombe na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida
na Morogoro]:
[Mikoa ya Geita,Mwanza na
Shinyanga,]:
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango
cha juu cha joto
Kiwango
cha chini cha joto
Mawio (Saa)
Machweo
(Saa)
ARUSHA
25°C
15°C
12:38
12:37
D’SALAAM
31°C
20°C
12:30
12:22
DODOMA
30°C
16°C
12:43
12:37
KIGOMA           
32°C
19°C
01:06
01:02
MBEYA
27°C
06°C
12:55
12:43
IRINGA
30°C
13°C
12:48
12:34
MWANZA
30°C
20°C
12:51
12:51
TABORA
31°C
20°C
12:54
12:50
TANGA
29°C
22°C
12:29
12:25
ZANZIBAR
30°C
21°C
12:30
12:22
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 20 kwa saa kutoka
Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Mashariki kwa
Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari:
Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
22/08/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 20/08/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.


from Blogger http://ift.tt/1NNayK6
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1I49FYv

No comments:

Post a Comment