Monday 17 August 2015

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.

WIZARA YA UCHUKUZI
                             MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 16/08/2015.
[Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani
na Tanga]:
[Mkoa wa Morogoro
(Kaskazini)]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Mara,Mwanza,
Kagera,Shinyanga na Geita]:
[Mikoa ya Katavi, Mbeya,
Kigoma, Tabora na Rukwa]:
[Mikoa ya Iringa, Njombe,
Mtwara, Lindi na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida
na Morogoro(Kusini)]:
[Mikoa ya
Kilimanjaro,Arusha na Manyara]:
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango
cha juu cha joto
Kiwango
cha chini cha joto
Mawio
(Saa)
Machweo
(Saa)
ARUSHA
24°C
13°C
12:40
12:38
D’SALAAM
33°C
22°C
12:33
12:21
DODOMA
28°C
15°C
12:46
12:37
KIGOMA           
32°C
19°C
01:09
01:02
MBEYA
25°C
09°C
12:58
12:42
IRINGA
26°C
13°C
12:48
12:34
MWANZA
30°C
18°C
12:53
12:52
TABORA
31°C
17°C
12:57
12:50
TANGA
30°C
22°C
12:32
12:25
ZANZIBAR
31°C
24°C
12:33
12:21
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi
ya km
30 kwa saa kwa Pwani
yote.
Hali ya
bahari:
Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumanne:
18/08/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 16/08/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.


from Blogger http://ift.tt/1Jb7YcM
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1K1h9l6

No comments:

Post a Comment