Wasanii wa Filamu nchini Wema Sepetu na Steven Nyerere wakimkaribisha Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt. Jakaya Kikwete katika Hoteli ya Hyatta Kempinski jijini Dar es Salaam kuzindua kampeni ya ‘Mama Ongea na Mwanao’ ili aipigie kura CCM. Kampeni hiyo imeratibiwa na wasanii wa filamu wakiongozwa Wema Sepetu na Steven Nyerere.
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt. Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa kampeni hiyo. |
(Picha na Freddy Maro) |
from Blogger http://ift.tt/1NOf5hz
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/1ErZX7E
No comments:
Post a Comment