Machinga Waandamana Kariakoo Kumpinga Makonda Uuzaji wa CD za Nje
Katazo la mkuu wa mkoa wa Dar kupiga marufuku CD za movie kutoka nje ya nchi ili kuinua sokolafilamu nchini limepingwa vikali na machinga wa Kariakoo wakidai kuwa biashara yao ya kuwaingizia kipato imeathiriwa na katazo hilo
No comments:
Post a Comment