Wednesday, 22 March 2017

Weusi Wachukua Kijiti Cha Ubalozi wa Airtel Toka kwa Navy Kenzo

Weusi wametangazwa Jumanne kuwa mabalozi wapya wa Airtel Tanzania. Wametangazwa kuwa mabalozi wa huduma mpya ya kampuni hiyo iitwayo HATUPIMI BANDO.
Kundi hilo linaloundwa na Joh Makini, Nick wa Pili na G-Nako limechukua nafasi hiyo kutoka kwa kundi la Navy Kenzo ambao walikuwa mabalozi wa huduma nyingine mwaka jana.
KAMA ULIMIS VIDEO YA MCHEZAJI WA Ghana  ALIE JIKANYAGA KWA KUWASHUKURU MUKE NA MCHEPUKO WAKE TAZAMA HAPA

from Blogger http://ift.tt/2o3AJVW
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2nms3gl

No comments:

Post a Comment