WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 28/08/2015.
|
[Maeneo ya miinuko ya Mikoa
ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]: [Mikoa ya Tanga, Dar es
Salaam,Morogoro na Pwani]: [Visiwa vya Unguja na
Pemba]: |
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua. |
|
|
[Mikoa ya Kagera na Mara]:
|
Hali ya Mawingu kiasi, ngurumo
katika Maeneo machache na vipindi vya jua. |
|
|
[Mikoa ya Katavi, Mbeya,
Iringa, Njombe na Rukwa]: [Mikoa ya Kigoma, Tabora,Dodoma
na Singida]: [Mikoa ya Mwanza, Shinyanga
na Geita]: [Mikoa ya Mtwara, Lindi na
Ruvuma]: |
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua. |
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
YA MIJI HAPA NCHINI:
|
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto |
Kiwango
cha chini cha joto |
Mawio
(Saa) |
Machweo
(Saa) |
|
ARUSHA
|
25°C
|
17°C
|
12:38
|
12:37
|
|
D’SALAAM
|
31°C
|
21°C
|
12:30
|
12:22
|
|
DODOMA
|
29°C
|
16°C
|
12:43
|
12:37
|
|
KIGOMA
|
34°C
|
19°C
|
01:06
|
01:02
|
|
MBEYA
|
26°C
|
09°C
|
12:55
|
12:43
|
|
IRINGA
|
26°C
|
14°C
|
12:48
|
12:34
|
|
MWANZA
|
32°C
|
18°C
|
12:51
|
12:51
|
|
TABORA
|
32°C
|
16°C
|
12:54
|
12:50
|
TANGA |
30°C
|
22°C
|
12:29
|
12:25
|
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
23°C
|
12:30
|
12:22
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki; kwa kasi
ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na
kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani Kusini.
ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na
kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo hadi Makubwa Kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumapili:
30/08/2015: Mabadiliko kidogo.
30/08/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 28/08/2015.
huu umetolewa leo tarehe: 28/08/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
from Blogger http://ift.tt/1UiaJiK
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/1Iq3w9t
No comments:
Post a Comment