WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 25/08/2015.
|
[Maeneo ya miinuko ya Mikoa
ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]: [Mikoa ya Tanga, Dar es
Salaam na Pwani]: [Visiwa vya Unguja na
Pemba]: |
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua. |
|
|
[Mikoa ya Kagera na Mara]:
|
Hali ya Mawingu kiasi, ngurumo
katika Maeneo machache na vipindi vya jua. |
|
|
[Mikoa ya Morogoro, Mtwara,
Lindi na Ruvuma]: [Mikoa ya Kigoma, Tabora
Dodoma na Singida]: [Mikoa ya Mwanza, Shinyanga
na Geita]: [Mikoa ya Katavi, Mbeya,
Iringa, Njombe na Rukwa]: |
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua. |
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
YA MIJI HAPA NCHINI:
|
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto |
Kiwango
cha chini cha joto |
Mawio
(Saa) |
Machweo
(Saa) |
|
ARUSHA
|
26°C
|
14°C
|
12:38
|
12:37
|
|
D’SALAAM
|
30°C
|
20°C
|
12:30
|
12:22
|
|
DODOMA
|
28°C
|
15°C
|
12:43
|
12:37
|
|
KIGOMA
|
33°C
|
18°C
|
01:06
|
01:02
|
|
MBEYA
|
23°C
|
06°C
|
12:55
|
12:43
|
|
IRINGA
|
25°C
|
14°C
|
12:48
|
12:34
|
|
MWANZA
|
29°C
|
20°C
|
12:51
|
12:51
|
|
TABORA
|
29°C
|
16°C
|
12:54
|
12:50
|
TANGA |
28°C
|
22°C
|
12:29
|
12:25
|
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
22°C
|
12:30
|
12:22
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi
ya km 30 kwa saa kwa Pwani
yote.
ya km 30 kwa saa kwa Pwani
yote.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa Kiasi.
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa Kiasi.
Matazamio kwa siku ya Alhamisi:
27/08/2015: Mabadiliko kidogo.
27/08/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 25/08/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
from Blogger http://ift.tt/1MRiJbd
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/1WQjODw
No comments:
Post a Comment