Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Kazi na Uwezeshaji Zanzibar Mhe Haroun Ali Suleiman alipowasili katika viwanja vya msitu wa Asili wa Ngezi Makangale Pemba kwa ujili ya sherehe za mafanikio ya Mradi wa Hifadhi ya Misitu ya Asili Zanzibar (HIMA).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Afisa wa Misiti ya Asili ya Jamii Rahika Hamad Suleiman akitowa maelezo ya matumizi ya majiko ya zamani ya kutumia kunin hadi majiko ya sasa ya kutumia mkaa wakati wa maonesho hayo ya kuhifadhi mazingira ya misitu asili Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiangalia sabuzi za Asili zinazotengenezwa kwa malighafi ya Pemba ya mti ya Mikaratusi, akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mkipi Miliki Co Ltd.ya Mzabarau Takao Pemba. Ndg Mohammed Abdalaah. wakati wa maonesho hayo.
from Blogger http://ift.tt/1JkN9MZ
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/1Kmi3sE
No comments:
Post a Comment