Monday, 29 February 2016

KUWASILI KWA RAIS DKT MAGUFULI KIA LEO

 Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Felix Ntibenda mara baada ya
kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na  Mwenyekiti mpya wa CCM Mkoa wa Arusha Mhe. Lekule Laizer baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa  na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Felix Ntibenda akiendelea kusalimia viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Joshua Nassary katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum Mhe CAtherine Magige baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na viongozi mbalimbali baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na viongozi mbalimbali baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na viongozi mbalimbali baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na viongozi mbalimbali wa dini baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Afande Liberatus Sabas  baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na viongozi baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio  mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Bw. Allan Kijazi  baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Amos Makalla  baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Makamanda wa JWTZ  baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa  na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Felix Ntibenda akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Bw. Elishilia Kaaya mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa  na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Felix Ntibenda akifurahia kikundi cha utamaduni cha Chuo Kikuu cha Tumaini cha Makumira mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Felix Ntibenda akipiga ngoma baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Felix Ntibenda mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa  na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Felix Ntibenda akiangalia vikundi vya ngoma mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa  na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Felix Ntibenda akifurahia burudani ya ngoma ya Mdumange baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa  na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Felix Ntibenda akifurahia ngoma ya kinamama baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa  na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Felix Ntibenda akipungia wanannchi mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  akisalimiana kwa furaha na aliyekuwa Katibu Myeka wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Samweli Kasori mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki leo February 28, 2016.
Picha zote na IKULU


from Blogger http://ift.tt/1TM8SXo
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1Rewoq2

VIDEO: WAZIRI DKT. MAHIGA AZUNGUMZIA MKUTANO WA WA 17 WA KAWAIDA WA WAKUU WA NCHI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI PAMOJA NA UZINDUZI WA BARABARA YA ARUSHA-HOLILI/TAVETA-VOI

from Blogger http://ift.tt/1OHcfXQ
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1oS4slm

Sunday, 28 February 2016

RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AWASILI ARUSHA KUONGOZA MKUTANO WA 17 WA KAWAIDA WA WAKUU WA NCHI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Arumeru Msshariki Mhe Joshua Nassari aliyekuwa mmoja wa viongozi  na wananchi waliojitokeza kwa wingi kumpokea alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki utofanyika jijini Arusha.

Picha na IKULU

from Blogger http://ift.tt/1UrTHC9
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/213ypdV

Tuesday, 23 February 2016

KESI YA KUPINGA MATOKEO YAANZA KUSIKILIZWA NJOMBE

Mh. Edward Mwalongo Kwanza kusoto na Mwasona Emmanuel wakiwa mahakamani Jana wakati sesi yao ikiwa tayari kwa kutajwa
MAHAKAMA kuu kanda ya Iringa imetoa siku nne kwa walalamikiwa kumpamajibu wakili wa upande wa mashitaka katika kesi ya kupinga matokeo ya mwaka 2016 iliyoanza kusikilizwa jana mkoani Njombe.
Amri hiyo inakuja baada ya wakili wa mshitaki Emmanuel Masonga aliye kuwa mbombe Ubunge Jombo la Njombe (Chadema) katika kesi ya kupinga matokeo Edwin Swale baada ya kuomba mahakama isiendelee na kesi kabla hajajibiwa na upande unao lalamikowa.
Mbele ya Jaji Jacob Mwambegele Swale walisema kuwa anaomba kujibiwa majibu yake kutoka kwa wakili wa serikali Apmarck Mabruck ambaye alisimama kwa niaba ya msimamizi wa uchaguzi ambaye ni mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Njombe Eluminata Mwenda.
Swale aliomba majibu baada ya kuomba kujibiwa malalamiko yao kutoka kwa washitakiwa katika shitaka hilo ambapo akupata majibu hayo ambayo yalitakiwa ayapate ili kuenmdelea na kesi hiyo ambayo kwa mara ya kwanza na ilikuwa mahakamani hapo kwaajili ya kutajwa.
Jaji Mwambegele aliiahirisha kesi hiyo kwa kutoa amri kwa wakili wa serikali kuhakikisha nakala ya majibu inamfikia wakili Swale ndani ya siku nne na ili ayapitie majibu hayo na kuanza kusikilizwa kwa kesi hiyo ambayo itatajwa tena.
Swale ambaye anasimama mahakamani kumuwakilisha Masonga ambao wanapinga matokeo katika mahakama kuu kanda ya Iringa wanawashitaki watu watatu katika kesi hiyo ya uchaguzi ya mwaka 2016.
Watu wanao shitakiwa katika kesi hiyo ni pamoja na Mbunge wajimbo la Njombe kusini Edward Mwalongo, Msimamizi wa uchaguzi ambaye ni mkurigenzi wa mji wa Njombe Eluminata Mwenda na mwanasheria wa mkoa wa Njombe Hilmar Danda ambaye ndio alikuwa mratibu wa uchaguzi mkoa wa Njombe.
Kesi hiyo aliyo beba hisia za wakazi wa mji wa Njombe waliofurika mahakamani kujua nini kinaendelea imeahirishwa na Jaji Mwambegele ambapo itasomwa tena Februari 25 mwaka huu.
Hata Wakili msomi Swale baada ya kesi hiyo kuahilishw akatika mahakama ya mkoa wa Njombe ambapo mahakama kuu imeendesha kesi zake hapo aliwataka wakazi wa mkoa wa Njombe kuendelea kufuatilia keshi hiyo na kuendelea kujitokeza kwa wingi kila siku ya kesi.

from Blogger http://ift.tt/1oZSEgW
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1QdNMyG

Sunday, 21 February 2016

Utabiri wa hali ya hewa kuanza saa 3:00 Usiku wa 21 Februari mpaka 22 Februari

WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA
MAWASILIANO
                             MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735.email:met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 21/02/2016.
[Mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga,
Simiyu, Mara na Mwanza]:
[Mikoa ya Katavi, Rukwa,
Mbeya, Njombe na Iringa]:
[Mikoa ya Kigoma, Tabora,
Singidana Dodoma]:
[Mikoa ya Ruvuma na
Morogoro (Kusini)]:
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katikamaeneomachache na vipindivyajua
[Mikoa ya LindinaMtwara]:
Hali ya Mawingu kiasi,
mvuakatikamaeneomachache navipindivyajua
[Mikoa ya Tanga, Dar es
salaam, Morogoro(Kaskazini) naPwani]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[VisiwavyaUnguja na Pemba]:
Hali ya Mawingu kiasina
vipindivyajua
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango
cha juu cha joto
Kiwango
cha chini cha joto
Mawio (Saa)
Machweo
(Saa)
ARUSHA
26°C
15°C
12:43
12:52
D’SALAAM
32°C
26°C
12:29
12:44
DODOMA
29°C
19°C
12:44
12:57
KIGOMA           
30°C
22°C
01:09
01:20
MBEYA
27°C
17°C
12:51
01:08
IRINGA
28°C
16°C
12:43
12:58
MWANZA
31°C
22°C
12:57
01:05
TABORA
31°C
18°C
12:57
01:08
TANGA
32°C
25°C
12:32
12:43
ZANZIBAR
33°C
26°C
12:29
12:44
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kaskazini-Mashariki kwa
kasi ya km 30 kwa saakwa Pwani ya 
Kaskazini
nakutoka Kaskazinikwa kasi ya km 20 kwa saakwa
Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: InatarajiwakuwanaMawimbi: MadogohadiMakubwa kiasi.
Matazamiokwasiku yaJumanne:
23/02/2016:
Mabadilikokidogo.
Utabirihuuumetolewaleotarehe: 21/02/2016.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

from Blogger http://ift.tt/1QTfAEV
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1WBwmwu

Saturday, 20 February 2016

29 DAYS TO GO; LADY JAYDEE OFFICIAL COUNT DOWN #NaamkaTena (VIDEO)


Lady Jaydee
Mkongwe wa muziki wa bongo fleva Lady Jaydee ametangaza rasmi kurudi tena kwenye muziki baada ya ukimya wa muda kidogo kwenye muziki. Lady Jaydee ameweka wazi ujio wake mpya kwenye muziki ikiwa leo ni siku ya 29 kuelekea uzinduzi wa #NaamkaTena. Tazama promo ya siku ya 29 ambapo Mh. Nape Nnauye kamzungumzia Lady Jaydee hivi.
“Mimi Kama kiongozi wa Sanaa nchini, Nitahakikisha natetea muziki wa Tanzania Lady JayDee anaamka tena”, amesema Mh.Nape Nnauye.
#LadyJayDeeOfficialCountDown #NaamkaTena

from Blogger http://ift.tt/1Vum2pG
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1Wy30yR

DKT. MPANGO AKUTANA NA WABUNGE KUTOKA NCHINI SWEDEN


Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango akizungumza na Wabunge kutoka nchini Sweden (hawapo pichani) leo jijini Da es salaam wakati wa mkutano uliofanyika Wizarani hapo, kuhusu ushirikiano wa kimaendeleo kati ya Tanzania na Sweden. Kulia ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad.
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango akizungumzia vipaumbele vya Serikali wakati wa mkutano na Wabunge kutoka nchini Sweden leo jijini Dar es salaam kwa ziara ya kikazi nchini.


Waziri wa Fedha na Mipango,Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na Wabunge wa Sweden katika ukumbi wa Wizara hiyo, kuzungumzia ushirikiano baina Tanzania na Sweden.

Katika mazungumzo yake na wabunge hao ambao wamewasili nchini kwa  ziara ya kikazi, Dkt. Mpango amesema Serikali ya Awamu ya Tano ipo makini na inafanyakazi kwa ufanisi ili kuhakikisha Watanzania wanapata huduma stahiki kutokana na rasilimali zilizopo nchini.

Amesema Serikali imejipanga kuongeza kasi ya ukusanyaji mapato ya ndani ili kuiwezesha nchi kujiendesha yenyewe na kuacha kutegemea misaada ya wahisani.

Aidha, amefafanua kuwa Tanzania imejipanga kuongeza vyanzo vya ukusanyaji mapato pamoja na kuboresha  vyanzo vilivyopo na kuhakikishakila Mwananchi anayestahilikulipakodistahikianalipa kwa wakati.

“Ni aibu kwa nchi yenye rasilimali za kutosha Wananchi wake kuishi katika hali ya umasikini, tunachotakiwa ni kuboresha kilimo kwa sababu wananchi wengi ndicho wanachotegemea”, alisema.

Akizungumzia vipaumbele vya Serikali katika mkutano huo, Dkt. Mpango alisema mkazo umewekwa zaidi katika kufanya mapinduzi ya viwanda, ambapo nchi inaanzakuboresha viwanda vilivyopo hususani vile ambavyo hutumia rasilimali zinazopatikana nchini kama zile zinazotokana na kilimo.

Aliongeza kuwa katika kuboresha viwanda pia Serikali ipo katika hatua za kuboresha soko la ndani na nje ya nchi kwa bidhaa zinazozalishwa na viwanda hivyo.

Dkt. Mpango alisema sambamba na kufanya mapinduzi ya viwanda, Tanzania imejipanga kuboresha miundombinu ambapo mpaka sasa kuna miradi mbalimbali ya maendeleo imeanzishwa kama mradi wa umeme vijijini.

Alisema katika suala la umeme, nchi imeazimia kujikita katika uzalishaji wa kutumia vyanzo vingine kama gesi asilia, jua na upepo kuliko kutegemea maji pekee.

Kuhusu sekta ya usafirishaji, Dkt. Mpango amesema Serikali imejipanga kuboresha bandari zote nchini na kuzifanya ziwe za kisasa ili kuhamasisha biashara za ndani na nje ya nchi kupitia bandari hizo.

Hata hivyo, Dkt. Mpango alikiri kuwa uboreshaji wa reli ya kati ni changamoto kwani reli hiyo haiwezi kuboreshwa kwa kutumia fedha za bajeti ya Serikali pekee, hivyo Serikali inajitahidi kutafuta njia za kufanikisha ujenzi huo. 

Katika mkutano huo, Dkt. Mpango alizungumzia suala la huduma za kijamii alisema, nchi imejipanga kutoa elimu inayoendana na soko la ajira na Serikali imeanza kutoa elimu ya msingi na sekondari bila malipo ili kuwawezesha wananchi wengi kupata elimu.

Akizungumzia suala la uchumi, Dkt. Mpango alisema hali ya uchumi kwa sasa ni nzuri kwani pato la ndani la Taifa limefika asilimia 7 katika miaka ya hivi karibuni.

Dkt. Mpango alisema ili kufanikisha vipaumbele hivyo, ni lazima maadili na nidhamu ya kazi vifuatwe na watendaji pamoja na watumishi wa umma katika utekelezaji wa majukumu yao.

Aliongeza kuwa Serikali ipo msatari wa mbele kupambana na rushwa na haitosita kuhakikisha watu wote wanaohusika na rushwa wanachukuliwa hatua za kisheria.

Kwa upande  Wabunge kutoka nchini Sweden, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, Kenneth Forslund, wameipongeza Serikali ya Awamu ya Tano kwa jitihada mbalimbali zinazochukuliwa katika ukusanyaji wa  mapato ya ndani na kutoa huduma za kijamii.

Tanzania na Swede nzime kuwa na ushirikiano wa muda mrefu ambao umeifaidisha Tanzania katika shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo kuendeleza miradi ya afya na umeme hususani vijijini, elimu pamoja na kusaidia kukamilisha bajeti ya kila mwaka.

from Blogger http://ift.tt/1TrNkxV
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/214zNSV

ALLAN KINGDOM AWA NOMINETED KWENYE GREMMYS AWARDS NI MTAZANIA

MTANZANIA ALLAN KINGDOM AWA NOMINATED KWENYE GRAMMYS AWARDS

Kulia ni Mtanzania Allan Kyariga jina la kisanii Allan Kingdom siku ya Jumatatu Feb 15, 2016 alikua nominated kwenye Grammys Awards zilizofanyika Los Angeles, California katika wimbo wa All Day aliyeimba akishirikiana na Kanye West. Allan Kingdom alikua nominated kwenye Best Rap Song na Best Rap Performance kushoto kwenye picha ni mama yake mzazi Lau Kyariga akiwa amemsindikiza mwanae wote wanaishi Minnesota.
Allan Kingdom akifanyiwa mahaojiano kwenye zulia jekund siku ya Grammys Awards.
Wimbo wa All Day Allan Kingdom na Kanye West alipofanya show Live jijini London mwaka jana
Lau Kyariga akiwa kwenye zuria jekundu kwenye Gammys  Awards Los Angeles, California

from Blogger http://ift.tt/1Vum2pE
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/1Wy2YqU

Elimtaa na matokeo Tazama Matokeo ya Kidato cha nne hapa

TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA HUU (2015-2016) KWA KUBOFYA >>>HAPA (Click here)

from Blogger http://ift.tt/1TrNmWH
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/214zLdR