WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI WA MIRADI WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.
Baadhi ya Washiriki wa semina kutoka wizara mbalimbali wakimsikiliza kwa makini Mhe Balozi Wilson Masilingi alipokua akiwakaribisha na kutoa yake machache.
Pichani ni waandaaji wa semina hiyo waliokua wameongozana na wenyeji wao kuja kutembelea Ubalozi wa Tanzania Washington DC .
PICHA ZOTE KWA HISANI YA CAMERA YA UBALOZI. |
from Blogger http://ift.tt/1ET4MqU
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/1Nnb7fq
No comments:
Post a Comment